Mwana muziki wa Bongo freva toka mkoani Morogoro mwana dada Dayna Nyange, amekanusha kuhusishwa na picha
zilizomuonesha akifanya uchafu ufukweni akiwa na njemba nusu uchi.
zilizomuonesha akifanya uchafu ufukweni akiwa na njemba nusu uchi.


"Jamani izi ni moja ya Picha.... Tulipokuwa location tuna shoot wimbo wangu wa "Mimi Na wewe" Na sivyo kama ilivyo semekana. Na baadhi ya blogs kwamba nimefumwa beach nikijiachia sijui nini Na nani kha!
\
MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

