Raia wa Urusi, Mikhail Khalashnikov ambaye aligundua bunduki aina ya AK-47 mwaka 1942 amefariki dunia jana (December 23).
Khalashnikon amefariki akiwa na umri wa miaka 94, na anakumbukwa kwa mchango wake mkubwa na majeshi mbalimbali duniani kote kwa kuivumbua silaha ambayo imekuwa ikitumika zaidi na majeshi hayo.
Jina AK limetokana na kifupi cha maana ya lugha ya kirusi ‘Khalashnikov’s Mashine gun’, na 47 inamaanisha mwaka ambao ilianza kutumika, kwa kuwa ilianza kutumika mwaka 1947.
MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

