
Habari zenu Mambomseto website??
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 30.Elimu yangu ni chuo kikuu. Sina mke wala mtoto.
Makazi yangu ni Dar na ni mwajiriwa wa kampuni flan ambayo sitaitaja kwa sasa. NATAFUTA MKE WA KUOA
Sichagui dini wala kabila ila elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.
Kwa atakayekuwa na nia ya dhati, naomba tuwasiliane kwa njia ya email yangu. Namba ya simu ntampa tukianza kuwasiliana.
Email yangu ni ayoubgula12@yahoo.com
MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

