Wednesday, January 8, 2014

NATAFUTA BINTI MZURI WA KUOA....???


Image


Habari zenu Mambomseto website??

Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 30.Elimu yangu ni chuo kikuu. Sina mke wala mtoto.

Makazi yangu ni Dar na ni mwajiriwa wa kampuni flan ambayo sitaitaja kwa sasa. NATAFUTA MKE WA KUOA

Sichagui dini wala kabila ila elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.

Kwa atakayekuwa na nia ya dhati, naomba tuwasiliane kwa njia ya email yangu. Namba ya simu ntampa tukianza kuwasiliana.

Email yangu ni ayoubgula12@yahoo.com
 

MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “NATAFUTA BINTI MZURI WA KUOA....???”

Post a Comment

 

Mambomseto Blog Copyright © 2011 -- Template created by SKENDO TEAM -- Powered by SKENDO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter