Katika kusherehekea sikukuu ya crismas,mambo yamekuwa ndivyo sivyo ndani ya jiji la mbeya,hawa ni kanga moko wakifanya yao ndani ya ukumbi wa E-Point uliopo ndani ndani ya jiji la mbeya maeneo ya sae stendi,mimi sisemi mengi tazama jinsi ambavyio wanamwaga ladhi
Haya ndiyo mambo yenyewe karibu kwenye klabu ya maraha E-point sae mbeya ni kila jumatano,jumamosi na jumapili
MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.