Katika kusherehekea sikukuu ya crismas,mambo yamekuwa ndivyo sivyo ndani ya jiji la mbeya,hawa ni kanga moko wakifanya yao ndani ya ukumbi wa E-Point uliopo ndani ndani ya jiji la mbeya maeneo ya sae stendi,mimi sisemi mengi tazama jinsi ambavyio wanamwaga ladhi






MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.