Wednesday, December 25, 2013

PREZZO AKUTANA NA MASHEMEJI ZAKE KUTOKA TANZANIA TAYARI KWA MAANDALIZI YA NDOA SOMA HAPA













Mwanamziki kutoka kenya anayefanya vizuri anayejulikana kama Jackson Makini kwa jina maarafu kama Prezzo hivi karibu ametinga Tanzania na kukutana na mashemeji zake kwa ajili ya kuandaa ndoa yao,pichani hapo juu ni mashemeji
zake.Licha ya hivyo msemaji wa familia amethibisha hayo kwa kusema

"According to our source,a family member,"Prez is not joking about this,this lady completely won his heart and Kenya in fact East Africa should be ready for talk of town wedding,can't disclose full details but take my word this wedding will turn necks and break hearts"


MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “PREZZO AKUTANA NA MASHEMEJI ZAKE KUTOKA TANZANIA TAYARI KWA MAANDALIZI YA NDOA SOMA HAPA ”

Post a Comment

 

Mambomseto Blog Copyright © 2011 -- Template created by SKENDO TEAM -- Powered by SKENDO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter