Wednesday, January 1, 2014

AJALI!!! TAARIFA NA PICHA YA BASI LA TAQWA LILILO UA NA KUJERUHI BAADA YA KUGONGANA NA ROLI HUKO MJINI MOROGORO..!!

6a00e54f0b19908834019b01e86ca0970b 
Taarifa zilizofika hivi sasa zinahusu ajali ya basi liligongana na lori huko Mikumi Morogoro.
Basi hilo limetajwa kuwa ni Taqwa mashuhuda wanasema basi hilo lilijaribu ku-over take hilo lori.
Hadi sasa wamefariki watu watatu ambapo wanawake ni wawili na mwanaume ni mmoja
13885817422641388581761327

MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “AJALI!!! TAARIFA NA PICHA YA BASI LA TAQWA LILILO UA NA KUJERUHI BAADA YA KUGONGANA NA ROLI HUKO MJINI MOROGORO..!! ”

Post a Comment

 

Mambomseto Blog Copyright © 2011 -- Template created by SKENDO TEAM -- Powered by SKENDO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter