Waziri Mkuu wa Zamani, Ariel Sharon Amefariki dunia HIV PUNDE katika hospitali alikokuwa amelazwa kwa muda mrefu kwa matibabu ya kiarusi.
Aliyekuwa waziri Mkuu wa Israel, Ariel Sharon amefariki akiwa na umri wa miaka 85.
Alikuwa katika hali ya umahututi kwa miaka nane tangu mwaka 2006.
habari zaidi zitawajia hivi punde!!!
-bbc
MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.