Mrembo akizua kasheshe baada ya kutolewa nje ya Ukumbi wa Mango Garden, Mwananyamala, Dar.
AMA kweli pombe siyo chai. Timbwili la aina yake liliibuka ndani ya Ukumbi wa Mango Garden, Mwananyamala jijini Dar hivi karibuni baada ya dada mmoja kuanzisha kasheshe alipomkuta mpenzi wake akiwa amekaa kimahaba na demu mwingine.
Mrembo akiwa mikononi mwa baunsa.
...Akitolewa nje ya ukumbi na baunsa.
Dada huyo alipomuona mpenzi wake anamsomesha demu mwingine, hakukubali akamrukia yule demu aliyekuwa akizungumza na mpenzi wake na kuwafanya wote kuanguka chini ndipo timbwili lilipoanza....Twende nje.
...Mrembo akitaka kurudi tena.
...Akizidi kukinukisha.
MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.