Friday, January 10, 2014

JENGO LA RK BARABARA YA NYERERE DAR LATEKETEATEKETEA KWA MOTO MKUBWA



 
Jengo la RK lililokaribu na eneo la Jet katika Barabara ya Nyerere karibu na sheli ya Victoria linaendelea kuwaka moto mkubwa mchana huu ambao umefika katika eneo la ghala la kuhifadhia madawa.
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wapo eneo la tukio ambako hali bado si shwari.
Sehemu iliyoathirika zaidi  ni ghala la kutunzia dawa za binadamu la kampuni ya Phillips.
chanzo; gpl 

MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “JENGO LA RK BARABARA YA NYERERE DAR LATEKETEATEKETEA KWA MOTO MKUBWA”

Post a Comment

 

Mambomseto Blog Copyright © 2011 -- Template created by SKENDO TEAM -- Powered by SKENDO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter