Friday, January 10, 2014

MFAHAMU DOGO WA MIAKA 6 ANAYELIPWA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 12 ZA KITANZANIA KWA WIKI

dogo
Mtoto mwenye umri wa miaka 6 ambaye anahusika kwenye series ya comedy ambayo itaanza kuonekana hivi karibuni analipwa dola 8,000 kila wiki akitokea kwenye episode moja.

Kutokana na mkataba wake ambapo atahusika kama mhusika mkuu kwenye season ya kwanza ya show mpya ya Disney, August Maturo atakua anaingiza dola dola 32,000 kila mwezi ambazo ni karibia zaidi ya milioni 51.

Show hiyo imeshakuwa proved kwa ajili ya season nyingine ambapo anaweza ku-sign mkataba wa pesa nyingi zaidi ya anazopata hivi sasa.
Show hiyo ambayo itakuwa inaonekana kwenye Disney Channel inaitwa Girl Meets World.

MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “ MFAHAMU DOGO WA MIAKA 6 ANAYELIPWA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 12 ZA KITANZANIA KWA WIKI ”

Post a Comment

 

Mambomseto Blog Copyright © 2011 -- Template created by SKENDO TEAM -- Powered by SKENDO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter