Friday, January 10, 2014

TAZAMA PICHA JINSI WEZI WALIVYOLIFANYA GARI LA DJ FETTY WA CLOUDS FM



Janga la kwanza 2014, nje ya home saa 12 asubuhi, makaka wezi wanne na gari lao wamekuja, wamevunja kioo na wakaanza kufungua side mirror, bahati mjumbe katoka, akawauliza nyie vipiii, ndo wakatoka nduki wakaingia kwenye gari lao



walililokuwa wamelipaki karibu na gari langu nankuseoa kwa speed 120, hawajafanikiwa kuondoka na chochote...hawakukamatwa ila wangekamaaaaatwa.....hahahahahaa, hivi ndo nimeianza asubuhi ya leo. Shout out kwa mjumbe wangu bila ya yeye duuuh nahisi ningelikuta gofu!!

MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “ TAZAMA PICHA JINSI WEZI WALIVYOLIFANYA GARI LA DJ FETTY WA CLOUDS FM ”

Post a Comment

 

Mambomseto Blog Copyright © 2011 -- Template created by SKENDO TEAM -- Powered by SKENDO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter