Saturday, January 11, 2014

PICHA ZA WATUHUMIWA WALIOKAMATWA WAKISAFIRISHA SILAHA ZA KIVITA KATAVI


 
watuhumiwa watatu wakukamatwa na bunduki ya kivita aina ya G3 wakiwa katika kituo kikuu cha Polisi cha Mkoa wa Katavi ambao walikamatwa na bunduki hiyo ya kivita hapo january 10 2014 majira ya saa mbili usiku katika kijiji cha matandalani kata ya sitalike wilaya ya mlele wakiwa njiani kuelekea Tunduma mkoani mbeya watuhumiwa hao ni simon Kasobhile (42) mkazi wa Ileje Mbeya, BIlau Rashidi (44) maarufu kwa jina la maftah mkazi wa sumbawanga na Martin John (32) mkazi wa Tunduru 


Picha na Walter Mguluchuma

MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “PICHA ZA WATUHUMIWA WALIOKAMATWA WAKISAFIRISHA SILAHA ZA KIVITA KATAVI”

Post a Comment

 

Mambomseto Blog Copyright © 2011 -- Template created by SKENDO TEAM -- Powered by SKENDO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter