Thursday, January 9, 2014

POMBE ZA BURE ZAMUUMBUA,AJINYEA HAPO HAPO BAADA YA KUMALIZA MIZINGA MIWILI YA KONYAGI, ALITAMBA ANAWEZA KUMALIZA MITANO THUBUTU KILICHOMKUTA ANAJUA AIBU...

UKISIKIA watu wanasema pombe si chai, ujue hawatanii. Mzee mmoja aliyefahamika kwa jina la Uledi, mkazi wa Mbagala Machinjioni, eneo lililo jirani na Kambi ya Jeshi, hivi karibuni aliumbuka vibaya, baada ya kufakamia vinywaji vya ofa kwa pupa na kujikuta akijisaidia haja kubwa hadharani.
Kwa mujibu wa shuhuda wetu, Uledi, ambaye ni baba mwenye nyumba maeneo hayo

MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII HAPA CHINI

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “POMBE ZA BURE ZAMUUMBUA,AJINYEA HAPO HAPO BAADA YA KUMALIZA MIZINGA MIWILI YA KONYAGI, ALITAMBA ANAWEZA KUMALIZA MITANO THUBUTU KILICHOMKUTA ANAJUA AIBU...”

Post a Comment

 

Mambomseto Blog Copyright © 2011 -- Template created by SKENDO TEAM -- Powered by SKENDO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter